POEM STARTER
Write a poem where the opening line is in a different language.
If you don't know another language you could look up a common phrase said in your language of choice that is linked to the theme of your poem.
Jahazi (Swahili Poem)
Maji, nisogezee jahazi kwangu
Mimi Abiria, nilie potea
Nakuvutwa mikononi mwako
Mafichoni naogelea,
Nakuzama, tena sana.
Huvutwa kwa zana
zilizo baridi
Ni nini unacho kitafuta kwangu
Mimi mwana, nilie potea
Nakutokea mikononi mwako
Mikono yanao ni kaba.
Ni wapi univutapo
Maana sifaham mahali hapa
Mkono wako unirudishe,
Kwa familia, salama
Na kwa jahazi iliyo potea.
Niruhusu nijitoe kwako
Nipumue upepo nilicho zoea
Nipigwe na jua
na kukauka
Tukutane tena siku ya mvua